Msemo / MethaliBaba o xwayla bir kahh o haraaye ikahi?Baba wa kukuzaa kama hayupo, hata wa malezi hayupo?If the birth father is absent, is there even a parent for upbringing?

Baba o xwayla bir kahh o haraaye ikahi?

phrase

proverb | theme: malezi, jamii
swh: Baba wa kukuzaa kama hayupo, hata wa malezi hayupo?
en: If the birth father is absent, is there even a parent for upbringing?
source: Shaaban & Mwangosi — Nafasi ya Misemo katika Jamii ya Wairaqw (§3.1.4)
Soma zaidi

Unatoa picha kuwa malezi ya mtoto hayategemei kuwepo kwa wazazi wawili. Jamii nzima ina jukumu la kuhakikisha watoto wanalelewa na kujengwa katika misingi ya uzalendo, utamaduni na maadili ya jamii. Mtoto ni mali ya jamii nzima; jamii ya Wairaqw inashirikiana kuwalea watoto kwa mujibu wa utamaduni wao.

proverbscultureparentingcontributor-seedproverbshaaban-mwangosi
Share

WordPress Gutenberg embed

Paste the embed URL into an Embed block, or paste this iframe into a Custom HTML block. Full embed guide →