Unatoa picha kuwa malezi ya mtoto hayategemei kuwepo kwa wazazi wawili. Jamii nzima ina jukumu la kuhakikisha watoto wanalelewa na kujengwa katika misingi ya uzalendo, utamaduni na maadili ya jamii. Mtoto ni mali ya jamii nzima; jamii ya Wairaqw inashirikiana kuwalea watoto kwa mujibu wa utamaduni wao.