Una maana kuwa ukiwatuma watu wakafanye kazi bila kusimamiwa huzembea na kuharibika kinachofanyika. Wazazi wanapaswa kuwajibika na kusimamia shughuli yoyote ili kuepuka jambo lisiharibike. Wazazi wana jukumu la kuwafundisha kazi watoto wao na kuhakikisha wamefanya vizuri kwa kuwafuatilia na kuwarekebisha kimaadili.