Unasisitiza kuwa kiongozi anayechaguliwa anaweza kufanya jambo lolote kulingana na mamlaka aliyonayo, lakini lazima atende haki kwa vitendo kwani anachokisema kisikilizwe na kufanyiwa kazi. Msemo huu unasisitiza namna ya kuwaheshimu viongozi katika mambo yenye tija katika jamii.